mmoja wa watoto wakiwa katika hospitali nchini Brazili akiwa na mzazi wake baada ya uchunguzi juu ya ugonjwa wa Zika

NaNeema Dandida     

Wanasayansi kutoka kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa CDC nchini Marekani wameanza kufanya utafiti nchini Brazil ili kujua uhusiano kati ya Virusi vya Zika na watoto kuzaliwa wakiwa na vichwa vidogo.